MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Julai 2018
Toleo hili lina makala za funzo za Septemba 3-30, 2018.
WALIJITOA WENYEWE KWA HIARI
Walijitoa Wenyewe kwa Hiari—Nchini Myanmar
Kwa nini Mashahidi wengi wa Yehova wamehama nchi zao na kuhamia nchini Myanmar ili kusaidia katika kazi ya mavuno ya kiroho?
Ungependa Kutambuliwa na Nani?
Tunajifunza nini kutokana na jinsi ambavyo Yehova ameonyesha kwamba anawatambua watumishi wake waaminifu?
Macho Yako Yanamtazama Nani?
Tunaweza kujifunza somo muhimu kutokana na kosa zito ambalo Musa alifanya.
“Ni Nani Aliye Upande wa Yehova?”
Masimulizi ya Biblia kuhusu Kaini, Sulemani, Musa, na Haruni yanatuonyesha kwa nini ni jambo la hekima kuwa upande wa Yehova.
Sisi Ni Mali ya Yehova
Tunaweza kumwonyeshaje Yehova kwamba tunamshukuru kwa kutusaidia kuwa na uhusiano mzuri pamoja naye?
Waonyeshe Huruma “Watu wa Namna Zote”
Iga huruma ya Yehova kwa kutambua mahitaji na matatizo ya wengine na kuwasaidia kadiri uwezavyo.
Jinsi ya Kufanya Funzo Lako la Biblia Liwe Lenye Kunufaisha na Kufurahisha Zaidi
Utapata vito vingi vya kiroho vyenye thamani.
Maswali Kutoka kwa Wasomaji
Ikiwa watu wawili ambao hawajaoana watalala katika chumba kilekile usiku bila sababu zinazoeleweka, je, watakuwa na hatia ya dhambi?