MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Julai 2018

Toleo hili lina makala za funzo za Septemba 3-30, 2018.

WALIJITOA WENYEWE KWA HIARI

Walijitoa Wenyewe kwa Hiari​—Nchini Myanmar

Kwa nini Mashahidi wengi wa Yehova wamehama nchi zao na kuhamia nchini Myanmar ili kusaidia katika kazi ya mavuno ya kiroho?

Ungependa Kutambuliwa na Nani?

Tunajifunza nini kutokana na jinsi ambavyo Yehova ameonyesha kwamba anawatambua watumishi wake waaminifu?

Macho Yako Yanamtazama Nani?

Tunaweza kujifunza somo muhimu kutokana na kosa zito ambalo Musa alifanya.

“Ni Nani Aliye Upande wa Yehova?”

Masimulizi ya Biblia kuhusu Kaini, Sulemani, Musa, na Haruni yanatuonyesha kwa nini ni jambo la hekima kuwa upande wa Yehova.

Sisi Ni Mali ya Yehova

Tunaweza kumwonyeshaje Yehova kwamba tunamshukuru kwa kutusaidia kuwa na uhusiano mzuri pamoja naye?

Waonyeshe Huruma “Watu wa Namna Zote”

Iga huruma ya Yehova kwa kutambua mahitaji na matatizo ya wengine na kuwasaidia kadiri uwezavyo.

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

Ikiwa watu wawili ambao hawajaoana watalala katika chumba kilekile usiku bila sababu zinazoeleweka, je, watakuwa na hatia ya dhambi?