MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Julai 2013

Toleo hili linaonyesha marekebisho kadhaa ya uelewaji wetu wa wakati wa matukio ya unabii wa Yesu na jinsi tunavyoweza kumtambua mtumwa mwaminifu na mwenye busara.

“Tuambie, Mambo Haya Yatakuwa Wakati Gani?”

Uelewaji wetu kuhusu wakati wa kutimia kwa matukio ya unabii wa Yesu katika Mathayo sura ya 24 na 25 umerekebishwaje?

“Tazama! Mimi Nipo Pamoja Nanyi Siku Zote”

Mfano ambao Yesu alitoa kuhusu ngano na magugu unaeleza kuhusu wakati wa kupanda, wa kukua, na wa mavuno. Ni uelewaji gani kuhusu wakati wa mavuno uliorekebishwa?

Aliwatumia Wachache Kuwalisha Wengi

Yesu aliyaandaliaje chakula cha kiroho makutaniko ya karne ya kwanza? Je, ndivyo ilivyo leo?

“Ni Nani kwa Kweli Mtumwa Mwaminifu na Mwenye Busara? ”

Makala hii inarekebisha uelewaji wetu kuhusu mtumwa mwaminifu na mwenye busara. Fikiria jinsi afya yetu ya kiroho inavyotegemea mtumwa huyo.

Mshiriki Mpya wa Baraza Linaloongoza

Mark Sanderson alianza kutumikia akiwa mshiriki wa Baraza Linaloongoza la Mashahidi wa Yehova kuanzia Septemba 1, 2012.

SIMULIZI LA MAISHA

Tayari Kumtumikia Yehova—Popote Pale

Soma jinsi wenzi wa ndoa kutoka nchi ya Uholanzi walivyojifunza kumtegemea kabisa Yehova licha ya vikwazo na hali zenye kubadilika-badilika.

“Tazama Picha!”

Picha hutumiwa katika machapisho yetu kama misaada muhimu ya kufundishia inayochochea fikira na hisia zetu. Unaweza kufaidikaje kutokana na picha hizo zenye kuvutia?