MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 3, 2013

“Hakuna Kitu cha Kuwakwaza” Wale Wanaomupenda Yehova

Ni katika maana gani hakuna kitu cha kuwakwaza wale wanaopenda sheria ya Yehova? Soma ili ujue mambo yanayoweza kutusaidia tuendelee kubaki katika shindano la mbio la uzima wa milele.

Je, Una ‘Moyo wa Kumujua’ Yehova?

Maneno ya nabii Yeremia yanaweza kutusaidia kupata na kulinda moyo wa mufano wenye afya nzuri.

Umekwisha ‘Kumujua Mungu’—Utafanya Nini Sasa?

Soma ili ujue kwa nini ni jambo la maana kuendelea kuchunguza imani yako na jambo lililokuchochea ujitoe kwa Yehova Mungu.

Unafarijiwa ili Uwafariji Wengine

Sisi wote tunagonjwa, na wengine hata kati yetu wana magonjwa ya hatari sana. Tunapopatwa na matatizo kama hayo, ni jambo gani linaloweza kutusaidia tusikate tumaini?

Yehova Ni Makao Yetu

Hata ikiwa tunaishi katika ulimwengu muovu, kwa nini tunaweza kuwa hakika kwamba Yehova atalinda watu wake?

Tuliheshimu Jina Kubwa la Mungu

Unaona namna gani pendeleo la kutumia jina la Mungu? Inamaanisha nini kujua jina la Mungu na kutembea katika jina hilo?

Je, Ni Josèphe Ndiye Aliiandika?

Je, ni mwanahistoria Flavius Josèphe ndiye aliandika maelezo yanayoitwa Testimonium Flavianum?

Usikate Tumaini Hata Kidogo!

Usikate tumaini hata kidogo kwamba mutu fulani hawezi kukubali kweli. Soma habari juu ya mutu fulani aliyekubali kweli na kwa nini.